Psalms 23:1-2

Bwana Mchungaji Wetu

Zaburi ya Daudi.

1 a Bwana ndiye mchungaji wangu,
sitapungukiwa na kitu.
2 bHunilaza katika malisho
ya majani mabichi,
kando ya maji matulivu huniongoza,
Copyright information for SwhNEN